Zaburi 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye anayetembea bila kosa+ na kuzoea kutenda uadilifu+Na kusema kweli katika moyo wake.+ Isaya 64:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umekutana na yule anayefurahi na kutenda uadilifu,+ wale wanaoendelea kukukumbuka katika njia zako mwenyewe.+ Tazama! Wewe ulikuwa na ghadhabu,+ huku sisi tukiendelea kutenda dhambi+—katika hizo muda mrefu, na je, sisi tuokolewe?+ Matendo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu. Wagalatia 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo na tusife moyo katika kufanya yaliyo mema,+ kwa maana katika majira yanayofaa tutavuna ikiwa hatuchoki kabisa.+
5 Umekutana na yule anayefurahi na kutenda uadilifu,+ wale wanaoendelea kukukumbuka katika njia zako mwenyewe.+ Tazama! Wewe ulikuwa na ghadhabu,+ huku sisi tukiendelea kutenda dhambi+—katika hizo muda mrefu, na je, sisi tuokolewe?+
16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.
9 Kwa hiyo na tusife moyo katika kufanya yaliyo mema,+ kwa maana katika majira yanayofaa tutavuna ikiwa hatuchoki kabisa.+