Zaburi 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nijulishe njia zako, Ee Yehova;+Nifundishe mapito yako mwenyewe.+ Zaburi 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Atawafanya wapole watembee katika uamuzi wake wa hukumu,+Naye atawafundisha wapole njia yake.+ Hosea 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+
9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+