Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa, tafadhali, ikiwa nimepata kibali machoni pako,+ nijulishe, tafadhali, njia zako,+ nipate kukujua, ili nipate kibali machoni pako. Na ukumbuke kwamba taifa hili ni watu wako.”+

  • Zaburi 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee Yehova, uniongoze katika uadilifu+ wako kwa sababu ya adui zangu;+

      Uifanye njia yako iwe laini mbele yangu.+

  • Zaburi 86:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+

      Nitatembea katika kweli yako.+

      Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+

  • Zaburi 143:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Asubuhi unifanye nisikie fadhili zako zenye upendo,+

      Kwa maana nimekutegemea wewe.+

      Unijulishe njia ninayopaswa kuitembea,+

      Kwa maana nimekuinulia nafsi yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki