Kutoka 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na sasa, tafadhali, ikiwa nimepata kibali machoni pako,+ nijulishe, tafadhali, njia zako,+ nipate kukujua, ili nipate kibali machoni pako. Na ukumbuke kwamba taifa hili ni watu wako.”+ Zaburi 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova, uniongoze katika uadilifu+ wako kwa sababu ya adui zangu;+Uifanye njia yako iwe laini mbele yangu.+ Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+ Zaburi 143:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Asubuhi unifanye nisikie fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana nimekutegemea wewe.+Unijulishe njia ninayopaswa kuitembea,+Kwa maana nimekuinulia nafsi yangu.+
13 Na sasa, tafadhali, ikiwa nimepata kibali machoni pako,+ nijulishe, tafadhali, njia zako,+ nipate kukujua, ili nipate kibali machoni pako. Na ukumbuke kwamba taifa hili ni watu wako.”+
8 Ee Yehova, uniongoze katika uadilifu+ wako kwa sababu ya adui zangu;+Uifanye njia yako iwe laini mbele yangu.+
11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+
8 Asubuhi unifanye nisikie fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana nimekutegemea wewe.+Unijulishe njia ninayopaswa kuitembea,+Kwa maana nimekuinulia nafsi yangu.+