Zaburi 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nijulishe njia zako, Ee Yehova;+Nifundishe mapito yako mwenyewe.+ Zaburi 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe njia yako, Ee Yehova,+Na uniongoze katika njia ya unyoofu kwa sababu ya adui zangu. Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+ Zaburi 119:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Unifundishe, Ee Yehova, njia ya masharti yako,+Ili nipate kuishika hata ile ya mwisho.+ Isaya 30:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+
11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+
21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+