Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nijulishe njia zako, Ee Yehova;+

      Nifundishe mapito yako mwenyewe.+

  • Zaburi 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe njia yako, Ee Yehova,+

      Na uniongoze katika njia ya unyoofu kwa sababu ya adui zangu.

  • Zaburi 86:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+

      Nitatembea katika kweli yako.+

      Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+

  • Zaburi 119:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  33 Unifundishe, Ee Yehova, njia ya masharti yako,+

      Ili nipate kuishika hata ile ya mwisho.+

  • Isaya 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki