Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe usamehe dhambi ya watumishi wako, naam, ya watu wako Israeli, kwa sababu unawafundisha+ njia nzuri wanayopaswa kutembea ndani yake;+ nawe unyeshe mvua+ juu ya nchi yako ambayo umewapa watu wako kuwa fungu la urithi.

  • Zaburi 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe njia yako, Ee Yehova,+

      Na uniongoze katika njia ya unyoofu kwa sababu ya adui zangu.

  • Zaburi 119:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  33 Unifundishe, Ee Yehova, njia ya masharti yako,+

      Ili nipate kuishika hata ile ya mwisho.+

  • Zaburi 143:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Asubuhi unifanye nisikie fadhili zako zenye upendo,+

      Kwa maana nimekutegemea wewe.+

      Unijulishe njia ninayopaswa kuitembea,+

      Kwa maana nimekuinulia nafsi yangu.+

  • Isaya 54:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki