Zaburi 119:165 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+ Isaya 66:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, mimi ninampa amani kama mto+ na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika,+ nanyi hakika mtanyonya.+ Mtachukuliwa mkiwa ubavuni, nanyi mtapakatwa juu ya magoti.+ Yeremia 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Tazama, ninamletea yeye nguvu na afya;+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ Waroma 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, kwa kuwa sasa tumetangazwa kuwa waadilifu kutokana na imani,+ na tufurahie amani+ pamoja na Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo,
12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, mimi ninampa amani kama mto+ na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika,+ nanyi hakika mtanyonya.+ Mtachukuliwa mkiwa ubavuni, nanyi mtapakatwa juu ya magoti.+
5 Basi, kwa kuwa sasa tumetangazwa kuwa waadilifu kutokana na imani,+ na tufurahie amani+ pamoja na Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo,