Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:165
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+

      Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+

  • Isaya 66:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, mimi ninampa amani kama mto+ na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika,+ nanyi hakika mtanyonya.+ Mtachukuliwa mkiwa ubavuni, nanyi mtapakatwa juu ya magoti.+

  • Yeremia 33:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ‘Tazama, ninamletea yeye nguvu na afya;+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+

  • Waroma 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, kwa kuwa sasa tumetangazwa kuwa waadilifu kutokana na imani,+ na tufurahie amani+ pamoja na Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki