Isaya 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+ Wagalatia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+ Waefeso 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yeye aliyefanya vile vikundi viwili+ kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta+ wa katikati uliowatenganisha.+
17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+
16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+
14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yeye aliyefanya vile vikundi viwili+ kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta+ wa katikati uliowatenganisha.+