Zaburi 125:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+ Zaburi 128:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na uone wana wa wana wako.+Na kuwe na amani juu ya Israeli.+ Waroma 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, si kwamba neno la Mungu lilikuwa limeshindwa.+ Kwa maana si wote wanaotokana na Israeli ni “Israeli” kikweli.+
5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+
6 Hata hivyo, si kwamba neno la Mungu lilikuwa limeshindwa.+ Kwa maana si wote wanaotokana na Israeli ni “Israeli” kikweli.+