Zaburi 128:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na uone wana wa wana wako.+Na kuwe na amani juu ya Israeli.+ Ezekieli 37:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani+ pamoja nao; watakuwa na agano lenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+ Nami nitawaweka na kuwazidisha+ na kuweka patakatifu pangu katikati yao mpaka wakati usio na kipimo.+ Wagalatia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+
26 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani+ pamoja nao; watakuwa na agano lenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+ Nami nitawaweka na kuwazidisha+ na kuweka patakatifu pangu katikati yao mpaka wakati usio na kipimo.+
16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+