Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 125:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+

      Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+

      Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+

  • Isaya 66:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, mimi ninampa amani kama mto+ na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika,+ nanyi hakika mtanyonya.+ Mtachukuliwa mkiwa ubavuni, nanyi mtapakatwa juu ya magoti.+

  • Wagalatia 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wale wote watakaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki