3 Kwa maana utapasua kwenda upande wa kuume na wa kushoto,+ na uzao wako mwenyewe utayamiliki hata mataifa,+ nao watakaa hata katika majiji yaliyoachwa ukiwa.+
7 “ ‘Nami nitayatikisa mataifa yote, navyo vitu vyenye kutamanika vya mataifa yote vitaingia;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi.