8 Yehova amesema hivi: “Katika wakati wa nia njema nimekujibu,+ na katika siku ya wokovu nimekusaidia;+ nami nikaendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+ kuitengeneza upya nchi,+ kuyafanya mafungu ya urithi yaliyofanywa ukiwa yamilikiwe tena,+