Zaburi 69:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mimi, nilikutolea sala, Ee Yehova,+Wakati unaofaa, Ee Mungu.+Katika wingi wa fadhili zako zenye upendo unijibu kwa kweli ya wokovu wako.+ 2 Wakorintho 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana anasema: “Katika wakati unaokubalika nilikusikia, na katika siku ya wokovu nilikusaidia.”+ Tazama! Sasa ndio wakati unaokubalika+ hasa. Tazama! Sasa ndiyo siku ya wokovu.+
13 Lakini mimi, nilikutolea sala, Ee Yehova,+Wakati unaofaa, Ee Mungu.+Katika wingi wa fadhili zako zenye upendo unijibu kwa kweli ya wokovu wako.+
2 Kwa maana anasema: “Katika wakati unaokubalika nilikusikia, na katika siku ya wokovu nilikusaidia.”+ Tazama! Sasa ndio wakati unaokubalika+ hasa. Tazama! Sasa ndiyo siku ya wokovu.+