Yohana 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lazima tufanye kazi zake aliyenituma kukiwa mchana bado;+ usiku+ unakuja wakati ambapo hakuna mtu anayeweza kufanya kazi. Waebrania 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 lakini endeleeni kuhimizana+ kila siku, maadamu inaweza kuitwa “Leo,”+ ili yeyote kati yenu asije akafanywa kuwa mgumu kwa nguvu za udanganyifu+ za dhambi.
4 Lazima tufanye kazi zake aliyenituma kukiwa mchana bado;+ usiku+ unakuja wakati ambapo hakuna mtu anayeweza kufanya kazi.
13 lakini endeleeni kuhimizana+ kila siku, maadamu inaweza kuitwa “Leo,”+ ili yeyote kati yenu asije akafanywa kuwa mgumu kwa nguvu za udanganyifu+ za dhambi.