19 lakini mahangaiko+ ya mfumo huu wa mambo na nguvu za udanganyifu za utajiri+ na tamaa+ za mambo yale mengine hupenya na kulisonga neno, nalo hukosa kuzaa matunda.+
10 na pamoja na kila udanganyifu+ usio wa uadilifu kwa wale wanaoangamia,+ kuwa malipo kwa sababu hawakukubali kuipenda+ ile kweli ili wapate kuokolewa.+