Mathayo 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na kwa sababu ya kuongezeka kwa uasi-sheria+ upendo wa walio wengi zaidi utapoa.+ Yuda 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hao ndio wale ambao huleta mitengano,+ watu wa kinyama,+ wasio na hali ya kiroho.+