1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho. Waebrania 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwamba kusiwe na mwasherati wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau,+ ambaye alitoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+
14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.
16 kwamba kusiwe na mwasherati wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau,+ ambaye alitoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+