Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule ambaye hayuko upande wangu ananipinga, na yule ambaye hakusanyi pamoja nami anatawanya.+

  • Waroma 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko+ na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho+ ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+

  • 1 Wakorintho 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa nawahimiza+ ninyi, akina ndugu, kupitia jina+ la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba nyote mseme kwa upatano,+ na kwamba kusiwe na migawanyiko+ katikati yenu, bali kwamba muunganishwe vema katika akili ileile na katika njia ileile ya kufikiri.+

  • Yakobo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana mahali ambapo pana wivu+ na ugomvi, hapo pana machafuko na kila jambo baya.+

  • 3 Yohana 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hiyo ndiyo sababu, nikija, nitakumbusha matendo yake ambayo anaendelea kufanya,+ akipiga porojo juu yetu kwa maneno maovu.+ Pia, akiwa hatosheki na mambo haya, yeye mwenyewe pia hawapokei akina ndugu+ kwa heshima, na wale wanaotaka kuwapokea+ yeye hujaribu kuwazuia+ na huwatupa nje+ ya kutaniko.

  • Ufunuo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Vivyo hivyo, wewe pia una wale wanaolishika sana fundisho la madhehebu ya Nikolao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki