2 Wathesalonike 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa tunawapa ninyi maagizo,+ akina ndugu, katika jina la Bwana Yesu Kristo, mjiepushe+ na kila ndugu anayetembea bila utaratibu+ na si kulingana na pokeo mlilopokea kutoka kwetu.+ 2 Wathesalonike 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini ikiwa yeyote hatii neno letu+ kupitia barua hii, mtieni alama mtu huyo,+ acheni kushirikiana naye,+ ili aone aibu.+ Tito 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa habari ya mtu anayeendeleza madhehebu,+ mkatae+ baada ya onyo la kwanza na la pili;+ 2 Yohana 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtu yeyote akija kwenu naye haleti fundisho hili, msimpokee kamwe nyumbani+ mwenu wala kumsalimu.+
6 Sasa tunawapa ninyi maagizo,+ akina ndugu, katika jina la Bwana Yesu Kristo, mjiepushe+ na kila ndugu anayetembea bila utaratibu+ na si kulingana na pokeo mlilopokea kutoka kwetu.+
14 Lakini ikiwa yeyote hatii neno letu+ kupitia barua hii, mtieni alama mtu huyo,+ acheni kushirikiana naye,+ ili aone aibu.+
10 Mtu yeyote akija kwenu naye haleti fundisho hili, msimpokee kamwe nyumbani+ mwenu wala kumsalimu.+