2 Wathesalonike 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa tunawapa ninyi maagizo,+ akina ndugu, katika jina la Bwana Yesu Kristo, mjiepushe+ na kila ndugu anayetembea bila utaratibu+ na si kulingana na pokeo mlilopokea kutoka kwetu.+ 2 Timotheo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watu hao wamegeuka kutoka kwenye kweli,+ wakisema kwamba ufufuo tayari umetukia;+ nao wanaipindua imani ya wengine.+
6 Sasa tunawapa ninyi maagizo,+ akina ndugu, katika jina la Bwana Yesu Kristo, mjiepushe+ na kila ndugu anayetembea bila utaratibu+ na si kulingana na pokeo mlilopokea kutoka kwetu.+
18 Watu hao wamegeuka kutoka kwenye kweli,+ wakisema kwamba ufufuo tayari umetukia;+ nao wanaipindua imani ya wengine.+