Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Asipowasikiliza hao, liambie kutaniko. Ikiwa halisikilizi hata kutaniko, mwache awe kwako kama mtu wa mataifa+ na kama mkusanya-kodi.+

  • 1 Wakorintho 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini sasa ninawaandikia ninyi mwache kuchangamana katika ushirika+ pamoja na mtu yeyote anayeitwa ndugu ambaye ni mwasherati au mtu mwenye pupa+ au mwabudu-sanamu au mtukanaji au mlevi+ au mnyang’anyi, hata msile chakula pamoja na mtu wa namna hiyo.

  • 2 Wathesalonike 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini ikiwa yeyote hatii neno letu+ kupitia barua hii, mtieni alama mtu huyo,+ acheni kushirikiana naye,+ ili aone aibu.+

  • Tito 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa habari ya mtu anayeendeleza madhehebu,+ mkatae+ baada ya onyo la kwanza na la pili;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki