1 Wakorintho 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana lazima pia yaweko madhehebu+ katikati yenu, ili watu waliokubaliwa wapate pia kufunuliwa katikati yenu.+ Ufunuo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa hivyo, una hili, kwamba unachukia+ matendo ya madhehebu ya Nikolao,+ ambayo mimi pia ninayachukia.
19 Kwa maana lazima pia yaweko madhehebu+ katikati yenu, ili watu waliokubaliwa wapate pia kufunuliwa katikati yenu.+
6 Ingawa hivyo, una hili, kwamba unachukia+ matendo ya madhehebu ya Nikolao,+ ambayo mimi pia ninayachukia.