Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 20:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 na kutoka katikati yenu ninyi wenyewe watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka+ ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+

  • 1 Wakorintho 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ninalomaanisha ni hili, kwamba kila mmoja wenu anasema: “Mimi ni wa Paulo,” “Lakini mimi ni wa Apolo,”+ “Lakini mimi ni wa Kefa,” “Lakini mimi ni wa Kristo.”

  • Wagalatia 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,

  • 1 Timotheo 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema kwa hakika kwamba katika vipindi vya nyakati+ za mwisho wengine wataanguka+ kutoka kwenye imani, wakisikiliza maneno yaliyoongozwa kwa roho yenye kupotosha+ na mafundisho ya roho waovu,+

  • 2 Petro 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, kulikuwa pia na manabii wa uwongo katikati ya wale watu, kama vile pia kutakavyokuwa na walimu wa uwongo katikati yenu.+ Hawa wataingiza ndani kimya-kimya madhehebu yenye kuharibu nao watamkana hata yule bwana aliyewanunua,+ wakijiletea wenyewe maangamizi ya haraka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki