3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+
19 Wao waliondoka kwetu, lakini hawakuwa wa namna yetu;+ kwa maana ikiwa wangekuwa wa namna yetu, wangebaki pamoja na sisi.+ Lakini wao waliondoka ili ionyeshwe wazi kwamba si wote walio wa namna yetu.+