Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 3 Yohana 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hiyo ndiyo sababu nikija, nitayashughulikia matendo anayofanya kwa kueneza maneno mabaya kutuhusu.*+ Hatosheki na hayo, bali pia anakataa kuwakaribisha kwa heshima akina ndugu;+ na wale wanaotaka kuwakaribisha, anajaribu kuwazuia na kuwatupa nje ya kutaniko.

  • 3 Yohana 10
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 10 Hiyo ndiyo sababu, nikija, hakika nitakumbuka kazi zake ambazo yeye huendelea kufanya, akipiga-piga domo juu yetu kwa maneno maovu. Pia, akiwa haridhiki na mambo haya, wala yeye mwenyewe hawapokei akina ndugu kwa staha, na wale wanaotaka kuwapokea yeye hujaribu kuwazuia na huwatupa nje ya kutaniko.

  • 3 Yohana
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • mstari 10 w06 1/15 21-22

  • 3 Yohana
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 10

      Mnara wa Mlinzi (Funzo),

      5/2017, uku. 28

      Mnara wa Mlinzi,

      1/15/2006, kur. 21-22

      9/1/1990, uku. 18

      10/15/1989, uku. 19

      10/1/1988, kur. 18-19

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki