Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 3 Yohana 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hiyo ndiyo sababu nikija, nitayashughulikia matendo anayofanya kwa kueneza maneno mabaya kutuhusu.*+ Hatosheki na hayo, bali pia anakataa kuwakaribisha kwa heshima akina ndugu;+ na wale wanaotaka kuwakaribisha, anajaribu kuwazuia na kuwatupa nje ya kutaniko.

  • 3 Yohana 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hiyo ndiyo sababu, nikija, nitakumbusha matendo yake ambayo anaendelea kufanya,+ akipiga porojo juu yetu kwa maneno maovu.+ Pia, akiwa hatosheki na mambo haya, yeye mwenyewe pia hawapokei akina ndugu+ kwa heshima, na wale wanaotaka kuwapokea+ yeye hujaribu kuwazuia+ na huwatupa nje+ ya kutaniko.

  • 3 Yohana
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • mstari 10 w06 1/15 21-22

  • 3 Yohana
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 10

      Mnara wa Mlinzi (Funzo),

      5/2017, uku. 28

      Mnara wa Mlinzi,

      1/15/2006, kur. 21-22

      9/1/1990, uku. 18

      10/15/1989, uku. 19

      10/1/1988, kur. 18-19

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki