Waefeso 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi ili ninyi mjue pia juu ya mambo yangu, kuhusu jinsi ninavyoendelea, Tikiko,+ ndugu mpendwa na mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha ninyi kila jambo.+ Wafilipi 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa upande wangu ninatumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo kwenu upesi, ili nafsi yangu ichangamke+ nitakapojua kuhusu mambo yenu. Wakolosai 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tikiko+ ndugu yangu mpendwa na mhudumu mwaminifu na mtumwa mwenzangu katika Bwana, atawajulisha ninyi mambo yangu yote.
21 Basi ili ninyi mjue pia juu ya mambo yangu, kuhusu jinsi ninavyoendelea, Tikiko,+ ndugu mpendwa na mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha ninyi kila jambo.+
19 Kwa upande wangu ninatumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo kwenu upesi, ili nafsi yangu ichangamke+ nitakapojua kuhusu mambo yenu.
7 Tikiko+ ndugu yangu mpendwa na mhudumu mwaminifu na mtumwa mwenzangu katika Bwana, atawajulisha ninyi mambo yangu yote.