Mathayo 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yeye asiyekuwa upande wangu ananipinga, naye asiyekusanya pamoja nami anatawanya.+ Marko 9:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 kwa maana mtu ambaye hatupingi yuko upande wetu.+ Luka 9:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Lakini Yesu akamwambia: “Msijaribu kumzuia, kwa maana yule ambaye hayuko kinyume chenu yuko upande wenu.”+ Yohana 11:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 na si kwa ajili ya taifa hilo tu, bali ili watoto wa Mungu waliotawanyika+ huku na huku yeye apate pia kuwakusanya pamoja kuwa mmoja.+
50 Lakini Yesu akamwambia: “Msijaribu kumzuia, kwa maana yule ambaye hayuko kinyume chenu yuko upande wenu.”+
52 na si kwa ajili ya taifa hilo tu, bali ili watoto wa Mungu waliotawanyika+ huku na huku yeye apate pia kuwakusanya pamoja kuwa mmoja.+