Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yeye asiyekuwa upande wangu ananipinga, naye asiyekusanya pamoja nami anatawanya.+

  • Marko 9:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 kwa maana mtu ambaye hatupingi yuko upande wetu.+

  • Luka 9:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Lakini Yesu akamwambia: “Msijaribu kumzuia, kwa maana yule ambaye hayuko kinyume chenu yuko upande wenu.”+

  • Yohana 11:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 na si kwa ajili ya taifa hilo tu, bali ili watoto wa Mungu waliotawanyika+ huku na huku yeye apate pia kuwakusanya pamoja kuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki