3 Kwa hiyo ningetaka mjue kwamba hakuna mtu yeyote ambaye anaposema kwa roho ya Mungu, husema: “Yesu amelaaniwa!”+ na hakuna mtu anayeweza kusema: “Yesu ni Bwana!” isipokuwa kwa roho takatifu.+
18 Nini basi? Si kitu, isipokuwa tu kwa kila njia, kama ni kwa unafiki+ au ni kwa kweli, Kristo anatangazwa,+ nami nashangilia katika jambo hilo. Kwa kweli, nitaendelea pia kushangilia,