Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yeye asiyekuwa upande wangu ananipinga, naye asiyekusanya pamoja nami anatawanya.+

  • Luka 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule ambaye hayuko upande wangu ananipinga, na yule ambaye hakusanyi pamoja nami anatawanya.+

  • 1 Wakorintho 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo ningetaka mjue kwamba hakuna mtu yeyote ambaye anaposema kwa roho ya Mungu, husema: “Yesu amelaaniwa!”+ na hakuna mtu anayeweza kusema: “Yesu ni Bwana!” isipokuwa kwa roho takatifu.+

  • Wafilipi 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nini basi? Si kitu, isipokuwa tu kwa kila njia, kama ni kwa unafiki+ au ni kwa kweli, Kristo anatangazwa,+ nami nashangilia katika jambo hilo. Kwa kweli, nitaendelea pia kushangilia,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki