Mathayo 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na manabii wengi wa uwongo+ watatokea na kuwapotosha wengi;+ 2 Wakorintho 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uwongo, wafanyakazi wadanganyifu,+ wakijigeuza wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+
13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uwongo, wafanyakazi wadanganyifu,+ wakijigeuza wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+