3 Tegeni sikio+ mnijie.+ Sikilizeni, na nafsi yenu itaendelea kuwa hai,+ na bila kusita mimi nitafanya pamoja nanyi agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo+ kuhusu fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.+
40 Nami nitafanya pamoja nao agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ kwamba mimi sitageuka kutoka nyuma yao, ili niwatendee mema;+ nami nitatia ndani ya moyo wao hali ya kuniogopa mimi ili wasigeuke kando kutoka kwangu.+