Ezekieli 36:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nitawapa ninyi moyo mpya,+ na nitatia ndani yenu roho mpya,+ nami nitauondoa moyo wa jiwe kutoka mwilini mwenu na kuwapa ninyi moyo wa nyama.+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+
26 Nami nitawapa ninyi moyo mpya,+ na nitatia ndani yenu roho mpya,+ nami nitauondoa moyo wa jiwe kutoka mwilini mwenu na kuwapa ninyi moyo wa nyama.+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+