6 Na Yehova Mungu wako atautahiri moyo wako+ na moyo wa uzao wako,+ ili wewe umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote kwa ajili ya uhai wako.+
19 Nami nitawapa moyo mmoja,+ nami nitaweka roho mpya ndani yao;+ nami hakika nitauondoa ule moyo wa jiwe kutoka katika mwili+ wao na kuwapa moyo wa nyama,+