3 Tegeni sikio+ mnijie.+ Sikilizeni, na nafsi yenu itaendelea kuwa hai,+ na bila kusita mimi nitafanya pamoja nanyi agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo+ kuhusu fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.+
8 Kwa maana mimi, Yehova, napenda haki,+ nachukia unyang’anyi pamoja na ukosefu wa uadilifu.+ Nami nitatoa malipo yao katika ukweli,+ nitafanya kwao agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.+