Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova huchukia;+ naam, vitu saba vinachukiza nafsi yake:+

  • Yeremia 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Je, inawezekana kuwe wizi,+ uuaji+ na uzinzi+ na kuapa kwa uwongo+ na kumfukizia Baali moshi+ wa dhabihu na kuifuata miungu mingine ambayo hamkuijua,+

  • Zekaria 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi msipangiane mabaya mioyoni mwenu,+ wala msipende kiapo chochote cha uwongo;+ kwa maana nimeyachukia mambo hayo yote,’+ asema Yehova.”

  • Malaki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Je, mtu wa udongo atamnyang’anya Mungu? Lakini ninyi mnaninyang’anya mimi.”

      Nanyi mmesema: “Tumekunyang’anya kwa njia gani?”

      “Katika sehemu za kumi na katika michango.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki