Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Usimtungie mwenzako jambo lolote baya,+ wakati anapokaa nawe na kujiona salama.+

  • Yeremia 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Osha moyo wako uwe safi kutokana na ubaya mtupu, Ee Yerusalemu, ili upate kuokolewa.+ Fikira zako zenye makosa zitakaa ndani yako mpaka wakati gani?+

  • Zekaria 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 wala msimpunje mjane+ yeyote na mvulana yeyote asiye na baba,+ wala mkaaji mgeni+ au mwenye kuteseka,+ wala msipangiane jambo lolote baya mioyoni mwenu.’+

  • Mathayo 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki