Marko 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana kutoka ndani, kutoka katika moyo wa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,+ wizi, mauaji,+ Wagalatia 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa matendo ya mwili ni wazi,+ nayo ni uasherati,+ uchafu, mwenendo mpotovu,+
21 kwa maana kutoka ndani, kutoka katika moyo wa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,+ wizi, mauaji,+