Methali 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa matendo yake, mvulana hujitambulisha kama utendaji wake ni safi na mnyoofu.+ 1 Wakorintho 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu,+ je, ninyi si wa kimwili na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?+
3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu,+ je, ninyi si wa kimwili na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?+