7 kwa sababu kukaza akili juu ya mwili humaanisha uadui+ na Mungu, kwa maana mwili haujitiishi+ chini ya sheria ya Mungu, nao kwa kweli hauwezi kujitiisha.
17 Kwa maana mwili katika tamaa yake unapingana na roho,+ na roho inapingana na mwili; kwa maana vitu hivyo vinapingana, hivi kwamba mambo yale ambayo mnapenda kufanya hamyafanyi.+