Zaburi 58:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waovu wamekuwa wapotovu kutoka katika tumbo la uzazi;+Wametanga-tanga tangu tumboni na kuendelea;Wanasema uwongo.+ Methali 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ujinga umefungwa pamoja na moyo wa mvulana;+ fimbo ya nidhamu ndiyo itakayouondolea mbali.+ Mathayo 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa;+ Luka 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.+ Lakini asinywe divai na kileo hata kidogo,+ naye atajazwa roho takatifu akiwa katika tumbo la uzazi la mama yake;+
3 Waovu wamekuwa wapotovu kutoka katika tumbo la uzazi;+Wametanga-tanga tangu tumboni na kuendelea;Wanasema uwongo.+
17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa;+
15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.+ Lakini asinywe divai na kileo hata kidogo,+ naye atajazwa roho takatifu akiwa katika tumbo la uzazi la mama yake;+