Hesabu 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 anapaswa kujiepusha na divai na kileo. Hatakunywa siki ya divai au siki ya kileo,+ wala kunywa maji yoyote yanayotengenezwa kutokana na zabibu, wala kula zabibu zikiwa mbichi au zikiwa zimekauka. Waamuzi 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi sasa jiangalie, tafadhali, usinywe divai wala kileo,+ wala usile kitu chochote kisicho safi.+ Mathayo 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kulingana na hilo, Yohana alikuja akiwa hali chakula wala kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Ana roho mwovu’;
3 anapaswa kujiepusha na divai na kileo. Hatakunywa siki ya divai au siki ya kileo,+ wala kunywa maji yoyote yanayotengenezwa kutokana na zabibu, wala kula zabibu zikiwa mbichi au zikiwa zimekauka.
18 Kulingana na hilo, Yohana alikuja akiwa hali chakula wala kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Ana roho mwovu’;