9 “Usinywe divai wala kileo,+ wewe na wanao pamoja nawe, mnapoingia ndani ya hema la mkutano, msije mkafa. Hiyo ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu,
14 Asile kitu chochote kinachotokana na mzabibu wa divai, wala asinywe divai yoyote wala kileo,+ wala asile kitu chochote kisicho safi.+ Naye ashike kila jambo ambalo nimemwamuru.”+
15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.+ Lakini asinywe divai na kileo hata kidogo,+ naye atajazwa roho takatifu akiwa katika tumbo la uzazi la mama yake;+