Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Usinywe divai wala kileo,+ wewe na wanao pamoja nawe, mnapoingia ndani ya hema la mkutano, msije mkafa. Hiyo ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu,

  • Waamuzi 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Asile kitu chochote kinachotokana na mzabibu wa divai, wala asinywe divai yoyote wala kileo,+ wala asile kitu chochote kisicho safi.+ Naye ashike kila jambo ambalo nimemwamuru.”+

  • Amosi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Lakini mliendelea kuwapa Wanadhiri divai wanywe,+ nanyi mkaweka amri juu ya manabii, mkisema: “Msitoe unabii.”+

  • Luka 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.+ Lakini asinywe divai na kileo hata kidogo,+ naye atajazwa roho takatifu akiwa katika tumbo la uzazi la mama yake;+

  • Luka 7:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kulingana na hilo, Yohana Mbatizaji amekuja akiwa hali mkate wala kunywa divai, lakini mnasema, ‘Ana roho mwovu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki