Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+

  • Yeremia 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya watu wa Anathothi+ wanaoitafuta nafsi yako, wakisema: “Usitoe unabii katika jina la Yehova,+ usije ukafa mkononi mwetu”;

  • Amosi 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Amazia akamwambia Amosi: “Ewe mwonaji,+ nenda, kimbia uende zako kwenye nchi ya Yuda, ukale mkate huko, na huko unaweza kutoa unabii.

  • Matendo 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo wakawaita na kuwaamuru wasiseme wala kufundisha popote juu ya msingi wa jina la Yesu.

  • 1 Wathesalonike 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 wanapojaribu kutuzuia+ tusiseme na watu wa mataifa ili hawa waokolewe,+ matokeo yakiwa kwamba sikuzote wao hukijaza kabisa kipimo+ cha dhambi zao. Lakini ghadhabu yake mwishowe imekuja juu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki