17 Wanawaambia tena na tena wale ambao hawaniheshimu, ‘Yehova amesema: “Ninyi mtakuwa na amani.”’+ Nao wamemwambia kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake,+ ‘Hamtapatwa na msiba wowote.’+
7 Je, ninyi hamkuona maono yasiyo ya kweli, na kusema uaguzi wa uwongo, mnaposema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati ambapo mimi mwenyewe sikusema lolote?” ’+
11 Ikiwa mwanamume, anayetembea akifuata upepo na uwongo, amesema uwongo:+ “Nitakuangushia maneno kuhusu divai na kuhusu kileo,” yeye pia atakuwa yule anayewaangushia watu hawa maneno.+
3 Kwa maana kutakuwa na kipindi cha wakati ambapo hawatalivumilia fundisho lenye afya,+ bali, kwa kupatana na tamaa zao wenyewe, watajikusanyia walimu kwa ajili yao wenyewe ili masikio yao yafurahishwe;+