Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wanawaambia tena na tena wale ambao hawaniheshimu, ‘Yehova amesema: “Ninyi mtakuwa na amani.”’+ Nao wamemwambia kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake,+ ‘Hamtapatwa na msiba wowote.’+

  • Ezekieli 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Je, ninyi hamkuona maono yasiyo ya kweli, na kusema uaguzi wa uwongo, mnaposema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati ambapo mimi mwenyewe sikusema lolote?” ’+

  • Mika 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ikiwa mwanamume, anayetembea akifuata upepo na uwongo, amesema uwongo:+ “Nitakuangushia maneno kuhusu divai na kuhusu kileo,” yeye pia atakuwa yule anayewaangushia watu hawa maneno.+

  • 2 Timotheo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kutakuwa na kipindi cha wakati ambapo hawatalivumilia fundisho lenye afya,+ bali, kwa kupatana na tamaa zao wenyewe, watajikusanyia walimu kwa ajili yao wenyewe ili masikio yao yafurahishwe;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki