Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu+ hawa na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ na upanga umefika mpaka kwenye nafsi.”

  • Yeremia 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+

  • Yeremia 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa binti ya watu wangu,+ wakisema: “Kuna amani! Kuna amani!” wakati hakuna amani.+

  • Ezekieli 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kwa sababu, naam, kwa sababu wamewapotosha watu wangu, na kusema, “Kuna amani!” wakati hakuna amani,+ pia kuna mtu anayejenga ukuta wa kugawanya, lakini kwa ubatili+ kuna wale wanaoupiga lipu kwa chokaa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki