Ayubu 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa upande mwingine, ninyi ni watu wa kupaka uwongo;+Ninyi nyote ni matabibu wasio na faida.+ Yeremia 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+
14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+