Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana sasa ninyi mmekuwa si kitu;+

      Mnaona hofu, nanyi mnaogopa.+

  • Ayubu 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Nimesikia mambo mengi kama hayo.

      Ninyi nyote ni wafariji wasumbufu!+

  • Yeremia 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+

  • Ezekieli 34:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Walio wagonjwa hamkuwatia nguvu,+ na anayeugua hamkumponya, na aliyevunjika hamkumfunga, na aliyefukuzwa hamkumrudisha, na aliyepotea hamkumtafuta apatikane,+ lakini mmewatawala kwa ukali, naam, kwa uonevu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki