16 Kwa maana tazama, ninamwacha mchungaji asimame katika nchi hii.+ Hatawakazia fikira kondoo wanaofutiliwa mbali.+ Hatawatafuta wachanga, wala hatawaponya kondoo waliovunjika.+ Anayesimama hatampa chakula, naye atakula nyama ya aliye mnono,+ atazing’oa kwato za kondoo.+