Zekaria 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ninamruhusu mchungaji ainuke nchini. Hatawatunza kondoo wanaoangamia;+ hatawatafuta walio wachanga au kuwaponya waliojeruhiwa+ au kuwalisha wanaoweza kusimama. Badala yake, atamla kondoo aliyenona+ na kuwang’oa kwato kondoo.+
16 Kwa maana ninamruhusu mchungaji ainuke nchini. Hatawatunza kondoo wanaoangamia;+ hatawatafuta walio wachanga au kuwaponya waliojeruhiwa+ au kuwalisha wanaoweza kusimama. Badala yake, atamla kondoo aliyenona+ na kuwang’oa kwato kondoo.+