Mwanzo 31:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Miaka hii 20 nimekuwa pamoja nawe. Kondoo-jike zako na mbuzi-jike zako hawakutokwa na mimba,+ na kondoo-dume wa kundi lako sikuwala kamwe. Ezekieli 34:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mnakula mafuta,+ na kujivika sufu ninyi wenyewe. Mnamchinja mnyama aliyenona.+ Hamlishi kundi lenyewe.
38 Miaka hii 20 nimekuwa pamoja nawe. Kondoo-jike zako na mbuzi-jike zako hawakutokwa na mimba,+ na kondoo-dume wa kundi lako sikuwala kamwe.
3 Mnakula mafuta,+ na kujivika sufu ninyi wenyewe. Mnamchinja mnyama aliyenona.+ Hamlishi kundi lenyewe.